Baraka FM News

Read The Full Story

Mwanamke mjamzito afariki katika ajali Sachang’wan

Watu wawili akiwemo mwanamke mjmzito wamefariki katika ajali ya barabara eneo la Sachang’wan.

Ajali hiyo ilitokea jana usiku.

OCPD wa  Molo Daniel Kamanza amesema ajali hiyo ilihusisha matatu ambayo ilikosa mwelekeo na kubinria mara kadha kisha kuanguka ndani ya kidimbwi.

Comments

comments